Mwenyekiti wa Mtaa wa Chamoto Mamlaka ya mji wa Mugumu wilaya Serengeti Rhobi Magoiga akikabidhi zawadi ya sh 25,000 kwa nahodha wa timu ya Magetta Fc baada ya kushinda mashindano ya Sabasaba.
Rhobi akitoa zawadi ya soda kwa timu ya Magetta baada ya kuibuka washindi
Mitambo ya Kampuni ya Samota Ltd kutoka Nzega ikisawazisha barabara ya mjini Mugumu wilaya ya Serengeti inayojengwa kwa kiwango cha lami nyepesi
Mtambo ya Samota ikisawazisha barabara ikiwemo kubomoa majengo,vibanda vilivyojengwa katika hifadhi ya barabara
Thomas Burito kada wa ACT WAZALENDO katikati akiwa na viongozi wa chama hicho wakati wa kuchukua fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo.
Thomas akisaini kuchukua fomu ya kutaka kuteuliwa ndani ya chama hicho kuwania nafasi ya Ubunge ,anayeshuhudia ni katibu mwenezi wilaya Hamisi Lazaro
Burito akielekea ofisi ya Act wilaya kuchukua fomu,msafara wake ulisimamiwa na kuongozwa na askari wa usalama barabarani
Uboreshaji wa barabara unaendelea
Burito anamwaga sera zake nini atawafanyia wakazi wa jimbo hilo iwapo atateuliwa na chama kisha kuchaguliwa na wananchi
Huyo ni mmoja wa boda boda mjini Mugumu ambaye inadaiwa ni kada maarufu wa chama hicho,hapo akiwa eneo la ofisi ya wilaya hiyo mtaa wa NHC
Pokea fomu kajaze kisha urudishe na ukiteuliwa peperusha vema bendera yetu,anasisitiza Katibu mwenezi wa wilaya Hamisi
Msafara wa mtia nia ulipambwa na burudani mbalimbali ikiwemo pikipiki,magari na muziki
Msafara wa ACT Wazalendo
Mambo ya Act Wazalendo
PILIKA PILIKA ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA BUNDA
Kikundi cha Tarumpeta wakiongoza maandamano wakati Dk Lucas Webiro akirudisha fomu zakutaka kuteuliwa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Bunda.
Safari inakwenda ikiongezeka huku burudani zikihanikiza
Boda boda nao hawakubaki nyuma katika kumsindikiza mtia nia huyo.
Wanachama na mashabiki wa Chadema wengine walikuwa ofisi ya jimbo hilo wakisubiri mtia nia huyo
Safari inaendelea kuelekea ofisi yajimbo la Chadema Bunda
Dk Webiro akiwapungua mikono wananchi
Wanachama,mashabiki na wananchi wakiwa ofisi ya jimbo hilo kushuhudia mtia nia akirudisha fomu
Hata watoto walikuwepo
Brudani ilipokolea kila mmoja aliingia kwa staili yake
Safari inakwenda ikiongezeka huku burudani zikihanikiza
Boda boda nao hawakubaki nyuma katika kumsindikiza mtia nia huyo.
Wanachama na mashabiki wa Chadema wengine walikuwa ofisi ya jimbo hilo wakisubiri mtia nia huyo
Safari inaendelea kuelekea ofisi yajimbo la Chadema Bunda
Dk Webiro akiwapungua mikono wananchi
Wanachama,mashabiki na wananchi wakiwa ofisi ya jimbo hilo kushuhudia mtia nia akirudisha fomu
Hata watoto walikuwepo
Brudani ilipokolea kila mmoja aliingia kwa staili yake
MATUKIO YA TOHARA YA WANAUME,INAYOKWENDA SAMBAMBA NA UKEKETAJI
BURUDANI ZINATAWALA KAMA ISHARA YA KUWAPONGEZA VIJANA WANAOTAHILIWA KIENYEJI HAPO NI MJNI MUGUMU SERENGETI
TUKIO HILI HUWAKUTANISHA WATU WA RIKA MBALIMBALI WAKATI WA KUWALAKI NA KUWASINDIKIZA
HATA WATOTO WADOGO HUSHIRIKI WAKIANDALIWA KISAIKOLOJIA NAO MUDA UKIFIKA WAWEZE KUSHIRIKI
VIJANA WALIOTAHILIWA HUSINDIKIZWA KAMA WAFALME
WANAKATIZA MJINI KISHUJAA
SAFARI INAENDELEA
CHEREKO CHEREKO HUTAWALA
WANAFUNIKWA KWA MIANVULI
MAMBO NI KAMA ILIVYO
TUKIO HILI HUWAKUTANISHA WATU WA RIKA MBALIMBALI WAKATI WA KUWALAKI NA KUWASINDIKIZA
HATA WATOTO WADOGO HUSHIRIKI WAKIANDALIWA KISAIKOLOJIA NAO MUDA UKIFIKA WAWEZE KUSHIRIKI
VIJANA WALIOTAHILIWA HUSINDIKIZWA KAMA WAFALME
WANAKATIZA MJINI KISHUJAA
SAFARI INAENDELEA
CHEREKO CHEREKO HUTAWALA
WANAFUNIKWA KWA MIANVULI
MAMBO NI KAMA ILIVYO
WASHEHABISE WATOA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA KWA MAKUNDI YA KIJAMII
KUNDI LA WANAWAKE WAKIJADIL MIKAKATI YA KUPUNGUZA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI SERENGETI WAKATI WA SEMINA ILIYOANDALIWA NA SHIRIKA LA WASAIDIZI WA KISHERIA NA HAKI ZA BINADAMU(WASHEHABISE)
KUNDI LA WAZEE WA MILA NAO WAKIWEKA MIKAKATI
AKINA MAMA KUTOKA MADHEHEBU MBALIMBALI WAKIENDELEA NA MJADALA
MJADALA UNAENDELEA
KUNDI LA WAZEE WA MILA NAO WAKIWEKA MIKAKATI
AKINA MAMA KUTOKA MADHEHEBU MBALIMBALI WAKIENDELEA NA MJADALA
MJADALA UNAENDELEA
RUTIGINGA FC YASHINDWA KUTAMBA
WACHEZAJI WA MAZIWA NA MAGEREZA FC WAKICHUANA LIGI DARAJA LA TATU NGAZI YA WILAYA YA SERENGETI,MAZIWA ILISHINDA 1-0
WACHEZAJI WA TIMU YA RUTIGINGA FC WAKIWA WANATAKARI WAKATI WA MAPUMZIKO
KIPA WA TIMU RUTIGINGA FC
VICTORIA FM WAIGOMEA RUTIGINGA FC
WACHEZAJI WA TIMU YA RUTIGINGA FC WAKIWA WANATAKARI WAKATI WA MAPUMZIKO
KIPA WA TIMU RUTIGINGA FC
VICTORIA FM WAIGOMEA RUTIGINGA FC
SHIRIKA LA SEDEREC LAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI
Mkurugenzi wa shirika la Sederec linalojihusisha na maendeleo,utafiti,uhifadhi na utawala bora wilaya ya Serengeti Damian Thobias akitoa ufafanuzi kwa wadau wa uhifadhi wilaya ya Serengeti
Majadiliano yanaendelea
Majadiliano yanaendelea
Subscribe to:
Posts (Atom)





