Subscribe:

Ads 468x60px

MATUKIO MBALIMBALI WILAYANI SERENGETI.

 Mwenyekiti wa Mtaa wa Chamoto Mamlaka ya mji wa Mugumu wilaya Serengeti Rhobi Magoiga akikabidhi zawadi ya sh 25,000 kwa nahodha wa timu ya Magetta Fc baada ya kushinda mashindano ya Sabasaba.
 Rhobi akitoa zawadi ya soda kwa timu ya Magetta baada ya kuibuka washindi
 Mitambo ya Kampuni ya Samota Ltd kutoka Nzega ikisawazisha barabara ya mjini Mugumu wilaya ya Serengeti inayojengwa kwa kiwango cha lami nyepesi
 Mtambo ya Samota ikisawazisha barabara ikiwemo kubomoa majengo,vibanda vilivyojengwa katika hifadhi ya barabara
 Thomas Burito kada wa ACT WAZALENDO katikati akiwa na viongozi wa chama hicho wakati wa kuchukua fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo.
 Thomas akisaini kuchukua fomu ya kutaka kuteuliwa ndani ya chama hicho kuwania nafasi ya Ubunge ,anayeshuhudia ni katibu mwenezi wilaya Hamisi Lazaro
 Burito akielekea ofisi ya Act wilaya kuchukua fomu,msafara wake ulisimamiwa na kuongozwa na askari wa usalama barabarani
 Uboreshaji wa barabara unaendelea
 Burito anamwaga sera zake nini atawafanyia wakazi wa jimbo hilo iwapo atateuliwa na chama kisha kuchaguliwa na wananchi
 Huyo ni mmoja wa boda boda mjini Mugumu ambaye inadaiwa ni kada maarufu wa chama hicho,hapo akiwa eneo la ofisi ya wilaya hiyo mtaa wa NHC
 Pokea fomu kajaze kisha urudishe na ukiteuliwa peperusha vema bendera yetu,anasisitiza Katibu mwenezi wa wilaya Hamisi
 Msafara wa mtia nia ulipambwa na burudani mbalimbali ikiwemo pikipiki,magari na muziki
 Msafara wa ACT Wazalendo
Mambo ya Act Wazalendo

PILIKA PILIKA ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA BUNDA

 Kikundi cha Tarumpeta wakiongoza maandamano wakati Dk Lucas  Webiro akirudisha fomu zakutaka kuteuliwa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Bunda.
 Safari inakwenda ikiongezeka huku burudani zikihanikiza
 Boda boda nao hawakubaki nyuma katika kumsindikiza mtia nia huyo.
 Wanachama na mashabiki wa Chadema wengine walikuwa ofisi ya jimbo hilo wakisubiri mtia nia huyo
 Safari inaendelea kuelekea ofisi yajimbo la Chadema Bunda
 Dk Webiro akiwapungua mikono wananchi
 Wanachama,mashabiki na wananchi wakiwa ofisi ya jimbo hilo kushuhudia mtia nia akirudisha fomu
 Hata watoto walikuwepo
 Brudani ilipokolea kila mmoja aliingia kwa staili yake

MATUKIO YA TOHARA YA WANAUME,INAYOKWENDA SAMBAMBA NA UKEKETAJI

 BURUDANI ZINATAWALA KAMA ISHARA YA KUWAPONGEZA VIJANA WANAOTAHILIWA KIENYEJI HAPO NI MJNI MUGUMU SERENGETI

 TUKIO HILI HUWAKUTANISHA WATU WA RIKA MBALIMBALI WAKATI WA KUWALAKI NA KUWASINDIKIZA
 HATA WATOTO WADOGO HUSHIRIKI WAKIANDALIWA KISAIKOLOJIA NAO MUDA UKIFIKA WAWEZE KUSHIRIKI
 VIJANA WALIOTAHILIWA HUSINDIKIZWA KAMA WAFALME

 WANAKATIZA MJINI KISHUJAA
 SAFARI INAENDELEA

 CHEREKO CHEREKO HUTAWALA

 WANAFUNIKWA KWA MIANVULI

MAMBO NI KAMA ILIVYO

WASHEHABISE WATOA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA KWA MAKUNDI YA KIJAMII

 KUNDI LA WANAWAKE WAKIJADIL MIKAKATI YA KUPUNGUZA UKATILI WA KIJINSIA WILAYANI SERENGETI WAKATI WA SEMINA ILIYOANDALIWA NA SHIRIKA LA WASAIDIZI WA KISHERIA NA HAKI ZA BINADAMU(WASHEHABISE)
 KUNDI LA WAZEE WA MILA NAO WAKIWEKA MIKAKATI
 AKINA MAMA KUTOKA MADHEHEBU MBALIMBALI WAKIENDELEA NA MJADALA
 MJADALA UNAENDELEA




RUTIGINGA FC YASHINDWA KUTAMBA

 WACHEZAJI WA MAZIWA NA MAGEREZA FC WAKICHUANA LIGI DARAJA LA TATU NGAZI YA WILAYA YA SERENGETI,MAZIWA ILISHINDA 1-0
 WACHEZAJI WA TIMU YA RUTIGINGA FC WAKIWA WANATAKARI WAKATI WA MAPUMZIKO

 KIPA WA  TIMU RUTIGINGA FC
VICTORIA FM WAIGOMEA RUTIGINGA FC

SHIRIKA LA SEDEREC LAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI

 Mkurugenzi wa shirika la Sederec linalojihusisha na maendeleo,utafiti,uhifadhi na utawala bora wilaya ya Serengeti Damian Thobias akitoa ufafanuzi kwa wadau wa uhifadhi wilaya ya Serengeti
Majadiliano yanaendelea