Subscribe:

Ads 468x60px

PILIKA PILIKA ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA BUNDA

 Kikundi cha Tarumpeta wakiongoza maandamano wakati Dk Lucas  Webiro akirudisha fomu zakutaka kuteuliwa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Bunda.
 Safari inakwenda ikiongezeka huku burudani zikihanikiza
 Boda boda nao hawakubaki nyuma katika kumsindikiza mtia nia huyo.
 Wanachama na mashabiki wa Chadema wengine walikuwa ofisi ya jimbo hilo wakisubiri mtia nia huyo
 Safari inaendelea kuelekea ofisi yajimbo la Chadema Bunda
 Dk Webiro akiwapungua mikono wananchi
 Wanachama,mashabiki na wananchi wakiwa ofisi ya jimbo hilo kushuhudia mtia nia akirudisha fomu
 Hata watoto walikuwepo
 Brudani ilipokolea kila mmoja aliingia kwa staili yake

0 comments:

Post a Comment