Subscribe:

Ads 468x60px

WASANII WA BUJORA KATIKATI YA MJI WA MUGUMU SERENGETI

 Mmoja wa wasanii wa kikundi cha Bujora Mwanza akikatika katika Mji wa Mugumu wilayani Serengeti,kikundi hicho mbali na burudani hizo wanauza madawa ya asili.
 Burudani zinaendelea
 Msanii akiendelea kukatiza mtaani wakati watoto wakifuatilia
 Anataka kuruka gari kwa kujivunia urefu wake.
 mmoja wa wapita njia akishangaa baada ya kukutana na msanii mrefu.
 Katika ya barabara za mitaani mjini Mugumu
 Watu wanashangaa kutokea kwa msanii mrefu ghafla.
 Msanii wa nyoka aina ya chatu naye akianzaa vitimbwi vyake.


 Wanakatiza nyoka aina ya chatu




Mambo yakiendelea

0 comments:

Post a Comment