Subscribe:

Ads 468x60px

DREVA BODA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA ABIRIA WAKE


 madreva boda boda wa mji wa Mugumu wilayani Serengeti wakitoka kijiji cha Nyichoka wilayani humo ,eneo ambalo dreva boda boda Gwitembe Yagera aliuawa na mtu aliyekuwa amemkodi

 Kisu kinachodaiwa kutumika kumchoma na kusababisha kifo cha Gwitembe Yagera(62)dreva boda boda mkazi wa kijiji cha Kisangura
Boda boda wakiwa katika eneo la hospitali teule ya Nyerere ddh 
Gwitembe Yagera dreva wa boda boda aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na abiria aliyemkodi