Subscribe:

Ads 468x60px

KILIMO CHA BUSTANI CHAMNUFAISHA MZEE MHEGETE

  Stephen Mhegete (80)mkazi wa Mtaa wa Bomani Mugumu wilayani Serengeti ambaye anaamini bustani ni zaidi ya ajira kwa kuwa ana uhakika wa kupata zaidi ya sh 30,000 kutokana na kilimo cha mboga mboga ,miongoni mwa masoko yake ni Mugumu na ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti
 Mzee Mhegete akiwa  kwenye bustani yake.



 Mbali na kilimo cha Bustani pia ameanzisha mradi wa kufuga samaki katika eneo hilo.
 Baadhi ya wanafamilia ya Mhegete wakiwa shambani wakipalilia


.Mboga mboga za aina mbalimbali zinapatikana katika bustani ya Mhegete

MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA

Dese Serengeti Mhandisi Juma Hamsini kulia akielezea masharti ya gari lililotolewa na Wizara ya Afya kwa ajili ya Kituo cha Afya Natta kabla ya kuikabidhi kwa diwani wa kata hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Juma Porini wa kwanza kulia,katikati ni Dc Nurdin Babu.



 Anasisitiza

 Wanaangalia gari kwa ndani
 Ded na Mwenyekiti wakijadiliana jambo.
 Dc akihimiza matumizi sahihi ya gari hilo ili liweze kuleta tija kwa kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga katika wilaya hiyo.

 Dc akimkabidhi Mwenyekiti wa Halmashauri gari hilo.

Mara baada ya kujaribu gari hilo.

MATUKIO YA SHEREHE YA JUMUIYA YA MT.MARIA MUGUMU SERENGETI

Padri Alois Magabe wa Kanisa Katoliki Mugumu Serengeti akiendesha ibada ya Ubatizo wa watoto watano katika Jumuiya ya Mtakatifu Maria Kigango cha Mugumu Parokia ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Mugumu Jimbo la Musoma wakati wa Ibada ya Misa takatifu iliyofanyika kwenye jumuiya hiyo na kufuatiwa na sherehe ya jumuiya hiyo,Kwaya ya Mtakatifu Maria Mama wa Mungu.
 Misa inaendelea





 Kwaya ya Maria wakiendelea na kuimba




 Kazi na dawa ,baada ya misa sherehe iliendelea,Padri Magabe alikuwa miongoni mwa watu walioshiriki sherehe ya somo wa Jumuiya hiyo.
 wanakwaya
 Kila mtu anapata akipendacho
 Katekista Ludovick Igonga akichukua chakula





 Mambo yanaenda yakiongezeka