Subscribe:

Ads 468x60px

MATUKIO YA SERENGETI FESTIVAL

 Muuza dawa za asili mjini Mugumu wilayani Serengeti
 naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mahamood Mugimwa akikagua,banda la Maliasili halmashauri ya wilaya ya Serengeti.
 Mhifadhi wa Ujilani Mwema hifadhi ya Taifa ya Serengeti Nuhu Daniel mwenye shati jeupe akiwa na maafisa wa hlamshauri ya wilaya ya Serengeti wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Banda la vitu vya asili,Paulina Boma
 Banda la Takukuru wilaya ya Serengeti
Banda la Ikoma Cultural

0 comments:

Post a Comment