Subscribe:

Ads 468x60px

MAHAFALI YA 8 YA TWIBHOKI

 Meneja wa shule ya Twibhoki Nywakwe Godfrey akiwa na keki kwa ajili ya mwanafunzi aliyefanya vizuri kwenye masomo
 Baadhi ya wahitimu wa sarasa la saba wakifurahia siku ya mahafali yao,Hongereni
 Nifuraha kubwa kwa wahitimu ,miaka saba si mchezo wanajiandaa kwa safari ya miaka minne ya sekondari
 Tumehitimu
Kaka nakulisha keki kama ulivyofanya wewe siku unahitimu,,,nafuata nyayo zako ni maneno kutoka kwa Fransisca akimkaribisha kaka yake Wilbroad Anthony Mayunga-siku ya maahafari ,hongereni wanangu kwa jinsi mnavyopendana na kutiana moyo Mungu azodo kuwarimia mfikie malengo yenu,huku mkituombea.

0 comments:

Post a Comment