Subscribe:

Ads 468x60px

,,MICHEZO SERENGETI

 Wachezaji wa timu ya Rutiginga FC iliyoko daraja la nne wilaya ya Serengeti  wakipiga jalamba kwenye uwanja wa Polisi Mjini Mugumu.
 Mazoezi yanaendelea
 Hapiti mtu hapa

 Hapa hafungwi mtu
 Kazi kazi

 Mazoezi ya viungo yanaendelea

wachezaji wa timu ya mikono ya wanawake ya Mugumu Serengeti wakijfua kwaa ajili ya mashindano mbalimbali

0 comments:

Post a Comment