Subscribe:

Ads 468x60px

MKAKATI WA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA

Dese Serengeti Mhandisi Juma Hamsini kulia akielezea masharti ya gari lililotolewa na Wizara ya Afya kwa ajili ya Kituo cha Afya Natta kabla ya kuikabidhi kwa diwani wa kata hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Juma Porini wa kwanza kulia,katikati ni Dc Nurdin Babu.



 Anasisitiza

 Wanaangalia gari kwa ndani
 Ded na Mwenyekiti wakijadiliana jambo.
 Dc akihimiza matumizi sahihi ya gari hilo ili liweze kuleta tija kwa kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga katika wilaya hiyo.

 Dc akimkabidhi Mwenyekiti wa Halmashauri gari hilo.

Mara baada ya kujaribu gari hilo.

0 comments:

Post a Comment