Subscribe:

Ads 468x60px

UJENZI WA WODI LA AKINA MAMA KATA YA KISAKA WAANZA

 Wakazi wa kata ya Kisaka Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa kwenye kikao cha kujadili shughuli za maendeleo.
 Aliyekuwa diwani wa kata ya Kisaka wilaya ya Serengeti Chacha Togocho akielezea adhima yake ya kukamilisha wodi ya wanawake na watoto katika kata hiyo ili kupunguza matatizo ya kusafiri umbali mrefu wakati wa kujifungua,ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwezi desemba mwaka huu,anachangia sehemu kubwa ya mradi huo,wananchi wanatakiwa kutoa viashiria.
 Nasisitiza kuwa mnichague msinichague lazima nijenge wodi maana hapa ni nyumbani
 Wanaelekea eneo la mradi
 Watoto walipata zawadi zao ikiwa ni pamoja na kalamu .
 Someni sana maana ninyi ndiyo mtakuwa madiwani baadae, anasisitiza
 Nimedhamiria kujenga wodi hii kwa kushirikiana na marafiki zangu,ili akina mama wapate sehemu ya kujifungulia ,maana kukosekana kwa wodi wengi walikuwa wanahamia maeneo ya jilani na huduma ,anasisitiza.
 Watoto nao walishiriki kwenye mjadala huo kwa kuwa wana haki ya kutoa maoni,
 Msingi tayari umeishajengwa kazi iliyopo sasa ni kuhakikisha ujenzi unakwenda kasi ili kufikia desemba kazi iwe imekamilika.
 Kazi hii italeta nafuu kwa wakazi wa kata hiyo
 Togocho anakabidhi mifuko mia ya saruji kwa vijiji vitanovya kata hiyo kwa ajili ya ujenzi na kukarabati majengo ya shule na nyumba za walimu
 Hongera sana maana unafanya kwa vitendo,
 Ushirikiano unatakiwa maana kazi hii ni yetu na wanufaika ni sisi sote ,anasisitiza Togocho.
Wananchi waliahidi kushikamana ili kukamilisha kazi hiyo.

0 comments:

Post a Comment