Subscribe:

Ads 468x60px

mmoja wa watafiti kutoka chuo kikuu cha Waseda cha Japan wanaoshirikiana na shiika la sederec wilayani serengeti akiwa amepanda kwenye moja ya maghala wanayotunzia chakula wakazi wa kijiji cha rwamchanga ambayo kwa sasa si salama kwa kuwa tembo huvamia makazi na kuangusha na kula chakula chote ambacho hukitegemea kwa kuuza pia,sasa wanakabiliwa na lindi la umaskini kwa kwa kuwa serikali haiwalipi fidia

antonymayunga@gmail.com

0 comments:

Post a Comment