. 1.Ee mungu ,mpe mfalme hukumu zako, na mwana wa mfalme haki yako. 2.Atawaamua watu wako kwa haki, na watu ...
Followers
Mratibu wa shirika la Sederec Damiani Thobias mwenye shati jeupe akionyesha wakazi wa kijiji cha Rwamchanga wilayani Serengeti wakiandaa miti kwa ajili ya kuweka mizinga ya nyuki itakayosaidia kudhibiti makundi ya tembo wanaokula mazao yao shambani na majumbani
0 comments:
Post a Comment