Subscribe:

Ads 468x60px

watafiti kutoka japani wanaoshirikiana na shirika la SEDEREC wakiwa na wakazi wa kijiji cha Rwamchanga wilayani Serengeti wakiangalia maghala wanayotunzia mahindi nyumbani,hata hivyo makundi ya tembo baada ya kumaliza mazao mashambani yanavamia maghala nyumbani na kula akiba ya mahindi wanayotunza kwa biashara na chakula


0 comments:

Post a Comment