Subscribe:

Ads 468x60px

SAFARI YA UTALII

 Basi la Bunda Express baada ya kuungua moto likielekea jijini Arusha
 Kila mtu kwenye utalii ana kitu kinachomkonga moyo wake,hapo anapiga picha ndege wakiwa ndani ya viota vyao Lango la Naabi hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
 Ndege hao wapole wamekuwa ni kivutio kwan watalii mbalimbali
 Hapa tumashughulika na kubadilisha gurudumu la gari letu baada ya kupasuka na kusukwa sukwa lakini Mungu alikuwa upende wetu,na safari ikaendelea.
 Wanakamilisha taratibu za kuingia hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro wengine wakielekea hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
 Ukifika lango la Naabi kuna jumbe mbalimbali zinazoelekeza fursa na taratibu uwapo hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
 Ndege wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti ni rafiki wa binadamu ,kama inavyoonekana hapo.
Tembo licha ya kushambuliwa sana na majangili,bado wanapatikana kwa wingi hifadhi ya Taifa ya Serengeti.