Subscribe:

Ads 468x60px

WADAU WA ELIMU WAKUTANA SERENGETI

Klabu ya Haki Elimu ya wanafunzi wa Mugumu B wilayani Serengeti wakiigiza jinsi baadhi ya wazazi walivyokikwazo cha elimu kwa watoto wa kike ,
Wanaendelea kutoa ujumbe namna wanavyokutana na vikwazo kutoka kwa baadhi ya wazazi wenye mlengo wa kuwaoza mapema
hapo ni ujumbe tu
Mkurugenzi wa Haki Elimu Elizabeth Msokia akielezea changamoto za elimu wilayani Serengeti wakati wa mdahalo wa wazi wa elimu  kwa wadau wa elimu,marafiki wa elimu,walimu,watendaji wa serikali na madiwani waliofanyikia shule ya Mugumu B.
mjadala unaendelea
Wadau wakifuatilia mjadala huo
Jamani hali si nzuri kwenye sekta ya Elimu ni kauli ya Mkurugenzi wa Haki Elimu