Subscribe:

Ads 468x60px

picha za matukio ya Ejat

 Makamu wa kwanza wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad akiongozana na waziri wa habari michezo na Utamaduni Dk,Fenela Mkangara kuingia ukumbini Diomond Jubilee kwa ajili ya kutoa tuzo kwa waandishi mahiri 2012
 Brass band ya Jkt Mgulani ikitoa burudani
 Maalim Seif,Waziri Mkangara,Jaji Robert Kisanga Rais wa MCT,kAJUBI Mkajanga
 hapa ni muda wa chakula
afya zilijaliwa vema

0 comments:

Post a Comment