Subscribe:

Ads 468x60px

Wanafunzi na wanakijiji wakumbwa na pepo

Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Ikoma robanda wilayani Serengetiwakiwa amebebwa baada ya kushikwa na pepo wakati Padri Alois Magabe wa kanisa katoliki Mugumu alipokuwa kiombea wananfunzi waliokumbwa na ugonjwa wa kuanguka ikidaiwa ni pepo na kupelekea shule kufungwa














Padri Alois Magabe akiombea wanafunzi waliokumbwa na pepo katika shule ya msingi Robanda.
Wakazi wa kijiji hicho wakiombewa
Nakuamru pepo toka
Mmoja wa watoto akiletwa kwa boda boda akiwa amepoteza fahamu kwa ajili ya kuombewa