madreva boda boda wa mji wa Mugumu wilayani Serengeti wakitoka kijiji cha Nyichoka wilayani humo ,eneo ambalo dreva boda boda Gwitembe...
Followers
kazi na dawa ,waandishi wakipata chakula ndani ya hifadhi ya taifa baada ya kumaliza kupiga picha za matukio ya jinsi nyumbu wanavyovuka mto mara wakitokea masai mara kenya na kuingia hifadhi ya taifa ya serengeti
0 comments:
Post a Comment