Subscribe:

Ads 468x60px

vivutio ndani ya hifadhi ya taifa Serengeti,pigia kura hifadhi ya Serengeti,mlima kilimanjaro na bonde la Ngorongoro ziweze kushinda kwenye maajabu saba ya asili ya afrika

kila mtanzania anatakiwa kupigia kura hifadhi ya taifa ya serengeti,bonde la Ngorongoro na mlima kilimanjaro ili vivutio hivyo vishinde na itasaidia kuongeza watalii na mapato kuongezeka

0 comments:

Post a Comment