Mwenyekiti wa Mtaa wa Chamoto Mamlaka ya mji wa Mugumu wilaya Serengeti Rhobi Magoiga akikabidhi zawadi ya sh 25,000 kwa nahodha wa timu ...
Followers
vivutio ndani ya hifadhi ya taifa Serengeti,pigia kura hifadhi ya Serengeti,mlima kilimanjaro na bonde la Ngorongoro ziweze kushinda kwenye maajabu saba ya asili ya afrika
kila mtanzania anatakiwa kupigia kura hifadhi ya taifa ya serengeti,bonde la Ngorongoro na mlima kilimanjaro ili vivutio hivyo vishinde na itasaidia kuongeza watalii na mapato kuongezeka
0 comments:
Post a Comment