Meneja miradi wa Amref Tanzania Dk Pius Chaya akiongea na wauguzi na waganga wa afya wilayani Serengeti juu ya utekelezaji wa Mradi wa To...
Followers
sanaa,mwanafunzi akitumbuiza wananchi wakati wa tamasha la kupinga ukeketaji.
ujumbe wake kwa wazazi ni kuachana na tabia za kuwakeketa watoto wa kike kuwa ni ukatili wa kijinsia,badala yake wawasomeshe waachane na mitizamo ya kuwaoza mapema wana haki sawa na watoto wa kiume
0 comments:
Post a Comment