MTOTO WA KIKE AMEZALIWA UTUMBO UKIWA NJE KIJIJI CHA NYICHOKA WILAYANI SERENGETI WAUGUZI HOSPITALI TEULE YA NYERERE WILAYANI SERENGETI...
Followers
sanaa,mwanafunzi akitumbuiza wananchi wakati wa tamasha la kupinga ukeketaji.
ujumbe wake kwa wazazi ni kuachana na tabia za kuwakeketa watoto wa kike kuwa ni ukatili wa kijinsia,badala yake wawasomeshe waachane na mitizamo ya kuwaoza mapema wana haki sawa na watoto wa kiume
0 comments:
Post a Comment