Subscribe:

Ads 468x60px

nyumbu wakirejea hifadhi ya taifa ya serengeti ambako ni kwao,wakitokea masai mara

pigia kura vivutio vya Tanzania ambavyo ni hifadhiya Taifa ya Serengeti yenye nyumbu wanaohama,bonde la Ngorongoro ambalo wanyama wafugwao,wanyama pori na wananchi wanaishi pamoja na mlima kilimanjaro ambao barafu yake haiyeyuki hata pawe na joto,andika vote@sevennaturalwonders.org

0 comments:

Post a Comment