Subscribe:

Ads 468x60px

Mwenyekiti wa Kijiji asomesha watoto wa mazingira magumu

 Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Majimoto Kata ya Maji Moto wilayani Serengeti Johannes Masioni kulia akikabidhi vifaa ,karo na michango kwa watoto wanne wa mazingira magumu ,alioamua kuwasaidia ili waanze masomo kidato cha kwanza Busawe Sekondari,msaada jumla ya msaada wake ni sh,420,000=
 Someni
 Saidieni watoto wasome si kuchangia harusi

watoto wanaahidi kusoma