Subscribe:

Ads 468x60px

SAFARI YA MWISHO YA MAMA YANGU MDOGO MWANAIDI ALIYEAGA DUNIA 10.5.2014 NA KUZIKWA 11.5.2014

 Tukio hili hutukumbusha maneno ya kitabu cha Yoeli,Lakini hata sasa asema bwana ,nirudieni sasa kwa mikoyo yenu yote....rarueni mioyo wala si mavazi,twapaswa kujiandaa....Upumzike kwa amani mama yetu.

 Umamavumbi na mavumbini utarejea tena,tutakukumbuka mama na tunamshukuru Mungu kwa kukujaliaa kuishi duniani miaka 73.
 Kwa heri mama ulitwaliwa mavumbini,na unarejea tena,Eee bwana utujulishe njia zako ili tujue kuzihesabu siku zako
Hapo watoto na wajukuu wakimaliza kuweka udongo kama ishara ya yeye kurudi mavumbini,wakati wa mazishi yaliyofanyikia kijiji cha Chumvi Majita wilaya ya Butiama

0 comments:

Post a Comment