Meneja miradi wa Amref Tanzania Dk Pius Chaya akiongea na wauguzi na waganga wa afya wilayani Serengeti juu ya utekelezaji wa Mradi wa To...
Followers
tembo wa serengeti sasa balaa wabomoa nyumba na kula mazao yote
janga -familia hiyo haina mahali pa kuishi baada ya nyumba yao kubomolewa na tembo na kula mazao yote ndani na wao kulazimika kupita dirishani-katika kijiji cha Makundusi kata ya Natta wilayani Serengeti
0 comments:
Post a Comment