WAKAMATWA NA SMG,RISASI 96 NYARA IKIWEMO MAYAI YA MBUNI, Na Anthony Mayunga-serengeti Oktoba 29,2012. WATU watatu wakazi wa ki...
Followers
tembo wa serengeti sasa balaa wabomoa nyumba na kula mazao yote
janga -familia hiyo haina mahali pa kuishi baada ya nyumba yao kubomolewa na tembo na kula mazao yote ndani na wao kulazimika kupita dirishani-katika kijiji cha Makundusi kata ya Natta wilayani Serengeti
0 comments:
Post a Comment