Subscribe:

Ads 468x60px

matukio ya kukabidhi vitabu na vifaa vya sayansi vilivyotolewa na HAKI ELIMU

Haki Elimu kupitia kwa marafiki wa Elimu wilayani Serengeti wametoa vitabu na vivunge kwa ajili ya masomo ya sayansi kwa shule nne za msingi za Mbalibali,Tamkeri,Mugumu B na Kambarage,makabidhiano hayo yamefanyikia ukumbi wa Halmashauri ya wilaya na ofisa michezo wa wilaya Makoye Maige kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo,picha zote kwa hisani ya Mayunga.blogspot.com






0 comments:

Post a Comment