Subscribe:

Ads 468x60px

Safari ya wanahabari vijijini

 wakazi wa kijiji cha Gibasonkata ya Nyarukoba wilayani Tarime wakiongea na timu ya waanidhi wa habari kuhusiana na ongezeko la wanyama waharibu wa mazao kwa wakazi waishio kando ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti,mazungumzo hayo yalifanyika mbele ya jengo la Serena hoteli iliyokuwa imefunguliwa huku juu fundi akiezeka.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa hawana la kufanya baada ya gari walilokuwa wakilitumia kwenda kijiji cha Kegonga wilayani Tarime wkubadilika.